mnyonge wa hali ya chini
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 926
- 1,160
Je, kuna faida gani kwa mwalimu wa primary mwenye certificate kusomea diploma in primary Education?
Wakuu mimi siyo mwalimu lakini mke wangu ni mwalimu wa primary sasa anataka kwenda kusoma diploma in primary ninaomba kujuzwa faida zake kabla sijatumia fedha zangu bila kujua faida zake.
Maana nimemshauri afanye mtihani wa form 6 ili akasome digrii kabisa lakini yeye anasema kuwa itakuwa muda mrefu sana.
Tafadhari naombeni ufafanuzi kwa wenye uelewa juu ya hili.
Wakuu mimi siyo mwalimu lakini mke wangu ni mwalimu wa primary sasa anataka kwenda kusoma diploma in primary ninaomba kujuzwa faida zake kabla sijatumia fedha zangu bila kujua faida zake.
Maana nimemshauri afanye mtihani wa form 6 ili akasome digrii kabisa lakini yeye anasema kuwa itakuwa muda mrefu sana.
Tafadhari naombeni ufafanuzi kwa wenye uelewa juu ya hili.