Msaada kwa wataalamu wa computer software

Rashford Lingard

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2018
Posts
938
Reaction score
1,151
Nifanye nini kutatua tatizo hili.
Natumia windows 7 bit 32
Inaandika "The application was unable to start correctly (0xc0000005). Click oOk to close the program.

Hii ni kila nikijarbua kufungua application
 
Un install window intall upya lakini je hiyo operating system uliitoa wapi na una hakika siyo corrupt ?
 
Un install window intall upya lakini je hiyo operating system uliitoa wapi na una hakika siyo corrupt ?
Windows ninayo kwenye pc yangu, nilitengeneza bootable nikainstall ila bado shida ni ile ile
 
Nifanye nini kutatua tatizo hili.
Natumia windows 7 bit 32
Inaandika "The application was unable to start correctly (0xc0000005). Click oOk to close the program.
si ubonyeze OK; to close !!!
watu wengine bahna! mnapataga tabu hata kwa mambo marahisi kabisa; Click OK to close the program OVER!! Then tafta ingine weka! simple
 
siku ingine usipate tabu, fuata maelekezo tu computer ni kama barabara ukijua kusoma alama za barabarani unafika salama!
Maana kuna sehemu mtu unaandikiwa NO WAY! Bado kuna mtu anaforce kupita!
na computer ni hivo hivo ikikwambia please click LEFT fuata hivo hivo
 
Nifanye nini kutatua tatizo hili.
Natumia windows 7 bit 32
Inaandika "The application was unable to start correctly (0xc0000005). Click oOk to close the program.

Hii ni kila nikijarbua kufungua application
Nadhani umevamiwa na minyoo yaani worm/ trojans kazi yao ni kutafuna / kubadilisha drivers wa hiyo pc yako jaribu kutafuta / download bitware then scan uondoe hizo malicious programs kwa pc yako
 
Miruzi mingi humpoteza dog jf kila mtu fundi sasa hapo atafata la nani
 
Piga window 10 afu piga full scan done1000%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…