Msaada kwa walimu walioanza kazi 2005

Msaada kwa walimu walioanza kazi 2005

Ngeme

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
33
Reaction score
28
Ndg wana Jf naomba kujua mimi nimeajiriwa march 20015 lkn mpaka sasa walimu wote tulioajiriwa nao ktk wilaya ya biharamulo hatujapanda madaraja bado tupo c.Je? Na kwa wilaya zingine ni hivyo?
 
Ndg wana Jf naomba kujua mimi nimeajiriwa march 20015 lkn mpaka sasa walimu wote tulioajiriwa nao ktk wilaya ya biharamulo hatujapanda madaraja bado tupo c.Je? Na kwa wilaya zingine ni hivyo?
HII NDO AINA YA WAALIMU TZ TENA HILI LIALIMU LINATAKA DARAJA LIPANDE MWAKA 20015 NDO MWAKA GANI?
STRESS ZA UALIMU ZITAKUUA WEWE UTAFUNDiSHA mwanafunzi gani mpaka afaulu a.k.a 20015
 
Duh!


Naona mleta. mada Mwl kachimba kati baada ya
kuandika mwaka usiokuwepo nadhani
sijui hata tumsaidieje ?


Alikuwa sijui na maana hii 2005
Ama sijui hii 2015 ambayo hatujaifika ?

Njoo ufanye masahihisho kwenye mada yako
iliwanaojua vzr huo mwaka wakupe majibu.
 
walimu tuna hali ngumu! walimu,na ss tuna umuhimu, walimu!!.jitahidi kuwa makini basi unapoleta hoja maana cjakuelewa hasa hapa(20015)
 
usiwe na shaka mwalimu.
mulugo ameahidi kulifanyia kazi suala la walimu kutopanda madaraja yao kwa wakati.
Ameahidi walimu wote ambao hawajapanda madaraja kwa muda mrf atahakikisha wanapanda toka madaraja yao waliyopo(i.e,E,D,C) hadi kufika daraja A ndani ya mwaka ujao.
KUWA MVUMILIVU MWL.
 
Back
Top Bottom