ozzy isayah
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 489
- 301
napenda kuuliza wale wa udsm wenzangu eti fomu tunaenda kuchukua chuoni au kwenye mtandao?na jee ni tarehe ngap tunaenda kuzifuata?
kaka soma maelekezo kwenye tovuti ya chuo yaani www.udsm.ac.tz . tarehe ya kuripoti ni 12/10/2013. mdogo wangu form zote utazipata chuo siku ya kuripoti.ubarikiwe na bwana