Heshima kwenu..!
Nliwahi kutazama kipindi flani kwenye tv kipindi waliokuwa washiriki wa miss Lake zone 2016 wakiwa kambini.
Kuna mdada mmoja alikuwa na lafudhi ya kichina yaani anavyoongea kama mdada wa kizungu au kichina hivi..!
Sijui alishika nafasi ya ngapi kwani kipindi hicho nlikuwa nje ya nchi na sikuwa mfuatiliaji sana wa shindano hilo.
Naomba mwenye kumjua mdada huyo au kama yeye mwenyewe yupo humu Jf naomba ani PM namba yake.
Au mwenye uwezo wa kunisaidia contact zake ani Pm
Natanguliza shukrani.!
Nliwahi kutazama kipindi flani kwenye tv kipindi waliokuwa washiriki wa miss Lake zone 2016 wakiwa kambini.
Kuna mdada mmoja alikuwa na lafudhi ya kichina yaani anavyoongea kama mdada wa kizungu au kichina hivi..!
Sijui alishika nafasi ya ngapi kwani kipindi hicho nlikuwa nje ya nchi na sikuwa mfuatiliaji sana wa shindano hilo.
Naomba mwenye kumjua mdada huyo au kama yeye mwenyewe yupo humu Jf naomba ani PM namba yake.
Au mwenye uwezo wa kunisaidia contact zake ani Pm
Natanguliza shukrani.!