Agalia imei bonyeza *#06# halafu hizo tarakimu 15 zitume kwenye namba 15090 utapata jibu zuri km imefungiwa au laSimu yangu ina tatizo la kusoma line nikiweka line katika simu inasoma, ila minara haisomi inaandika EMERGENCY CALL - Airtel na baada ya muda inasoma alafu tatizo linarudi sijajua ni kwanini.
Msaada kwa anaefahamu.