Msaada kwa tatizo la kuwashwa

lawyer2

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
224
67
Salaam Doctors na wadau...ninatatizo la kuwashwa ilianza tumboni na miguuni na sasa matakoni na mapajani.Mara nyingi ikifika jioni ndio inaanza.Nimetumia dawa za allergy imegoma..nimetumia za kichina pia mpaka baadhi za kupaka lakini wapi.Nimetumia za minyoo pia lakini wapi.Naombeni msaada
 
Salaam Doctors na wadau...ninatatizo la kuwashwa ilianza tumboni na miguuni na sasa matakoni na mapajani.Mara nyingi ikifika jioni ndio inaanza.Nimetumia dawa za allergy imegoma..nimetumia za kichina pia mpaka baadhi za kupaka lakini wapi.Nimetumia za minyoo pia lakini wapi.Naombeni msaada
Kama hujatumia dawa ya minyoo siku nyingi, jaribu.

Nunua Albendazole, ni buku tu.

Mara nyingi inatokea baada ya kuoga jioni.

Ukipona, leta mrejesho.
 
Kuna watu wana allegy na maji ya chumvi, akiogea tu hayo maji basi ni kuwashwa hadi maji yakauke kabisa mwilini. So jaribu kutojimwagia maji mda mrefu wakati wa kuoga na pia ukitoka kuoga tumia taulo safi kukausha mwili wako vizuri.
 
Salaam Doctors na wadau...ninatatizo la kuwashwa ilianza tumboni na miguuni na sasa matakoni na mapajani.Mara nyingi ikifika jioni ndio inaanza.Nimetumia dawa za allergy imegoma..nimetumia za kichina pia mpaka baadhi za kupaka lakini wapi.Nimetumia za minyoo pia lakini wapi.Naombeni msaada
Pole sana ikiwa wenzangu wamekupa ushauri haujakusaidia unaweza kunitafuta mimi dawa ya kuweza kukutibu maradhi yako ninayo ukihitaji dawa toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
OK wacha nikamwone

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Asanteni sana...wacha nimchek Prof pia Mzizi Mkavu

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Wadau hata mm Nina tatizo kama hilo ni Mda mrefu kwa sasa, inanikosesha Raha kabisa mara nyingi jion ukitoka kuoga mwili Mzima unawasha kama dk 3 had 5. Nmetumia dawa za minyoo, allergy etc. Najiuliza maswali shida ni nn ktk hi ngozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom