Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,730
- 3,174
Naombeni msaada wa haraka wataalamu nifanye nin au nisolve vp hii ishu? Nina pc yangu siku ya tatu,leo keyboard inasumbua baadhi ya buttons kam zile f's zote,enter backspace,space,caps and num lock na zngne alphabets buttons hazifanyi kazi kabisa nikibonyeza hazirespond.nashndwa kufanya mambo yangu,naomb ushauri na msaada wakuu ili pc angu ipone tafadhali.natumia pc aina ya toshiba ni old model core i5.