apana...shida inakua mtandao ukiwa haujasoma ukisoma unaappear gud &healthly show show:
nngeweka picha ya manzi angu kweli shida mimi ni new member sjajua kutumia najarbu kuattach inagoma mwanzo nlkuwa mpenzi msomaji tuu
Achana nao hao, usijaribu kuweka picha inaweza kukugharimu siku za usoninngeweka picha ya manzi angu kweli shida mimi ni new member sjajua kutumia najarbu kuattach inagoma mwanzo nlkuwa mpenzi msomaji tuu
Acha ujinga broo wanakuzngua hao usiweke picha yyte ile kakanngeweka picha ya manzi angu kweli shida mimi ni new member sjajua kutumia najarbu kuattach inagoma mwanzo nlkuwa mpenzi msomaji tuu
Jitahidi utafanikiwa tu kuiweka. Kwani unatumia simu aina gani?nngeweka picha ya manzi angu kweli shida mimi ni new member sjajua kutumia najarbu kuattach inagoma mwanzo nlkuwa mpenzi msomaji tuu
Achana nao hao, usijaribu kuweka picha inaweza kukugharimu siku za usoni
Sent using Jamii Forums mobile app
nipo chuo mkuuu
asante
n lini sabu saivi nina 23yrs sijakomaaa tuuuuebu kuwa kwanza...kwa umri huo bado...via avija komaa
Samsung galaxy A7(2016)