Msaada kwa mwenye uelewa kuhusu Open University of Tanzania (OUT)

gubwe

JF-Expert Member
Sep 9, 2016
299
131
Wadau naomba mwenye kukifahamu vizuri hiki chuo anisaidie coz nahitaji kujiunga ila nahitaji nifaham vitu vichache kabla ya kujiunga, kwanza nilikua naomba fahamu Teaching Method yaan lecture anaingia class kama vyuo vingine au hapo ni tofauti?, Pili ukishalipa Tuition fee maana yake ni lecture kuingia class tu na kupiga vipindi au lecture unamlipa private na kama private gharama zake zikoje!!

Naomba kuwakilisha.
 
Nenda kwenye website yao usome kila kitu wameelezea vizuri. Lecture anaingia darasani kwa faculty ya ICT pekee. Maximum time for undergraduate degree ni miaka 8. Yaani degree ya miaka 3 unaweza kuisoma hadi miaka 8. Kiko vizuri ingawa watu huwa wanakizarau.
 
Nenda kwenye website yao usome kila kitu wameelezea vizuri. Lecture anaingia darasani kwa faculty ya ICT pekee. Maximum time for undergraduate degree ni miaka 8. Yaani degree ya miaka 3 unaweza kuisoma hadi miaka 8. Kiko vizuri ingawa watu huwa wanakizarau.
Siku hizi wamepunguza ni miez 6,,... Open ni chuo kizuri sana kwa sasa.
 
Nenda kwenye website yao usome kila kitu wameelezea vizuri. Lecture anaingia darasani kwa faculty ya ICT pekee. Maximum time for undergraduate degree ni miaka 8. Yaani degree ya miaka 3 unaweza kuisoma hadi miaka 8. Kiko vizuri ingawa watu huwa wanakizarau.
Duuuuuu!! 8years 1st Degree, okay nashukuru kwa ufafanuzi wako mkuu!!
 
Duuuuuu!! 8years 1st Degree, okay nashukuru kwa ufafanuzi wako mkuu!!
Yaani inategemea wewe umejipanga vipi. Unaweza kuchukua kwa miaka 3 ukamaliza au ukawa unasoma nusu nusu hadi miaka 8. Ila kuna mdau amesema ni miaka 6 kwa sasa
 
Yaani inategemea wewe umejipanga vipi. Unaweza kuchukua kwa miaka 3 ukamaliza au ukawa unasoma nusu nusu hadi miaka 8. Ila kuna mdau amesema ni miaka 6 kwa sasa
So walimu hua hawafundishi hapo maana yake unajisomea mwenyewe na material unatafuta mwenyewe sio!!?
 
So walimu hua hawafundishi hapo maana yake unajisomea mwenyewe na material unatafuta mwenyewe sio!!?
Kufundishwa unafundishwa ila at your own pace utatumiwa tutorial. Material mengine utatafuta mwenyewe kama vyuo vingine.
 
WAKALA WA UNLIMITED DATA
Ndugu ,uwapo wakala utaweza kuuza packages (unlimited data&bandwidth) Kwa watu na kujipatia faida kubwa saana .
Kuwa wakala ni sh.40,000.tu
Data hi ni Kwa mitandao yote dunian,..utaweza kuingiza kipato cha chini sana kila siku sh.31,000.
Kwa kusajiliwa papopapo utaanza kazi
Kwa Maelezo zadi

Nipigie au WhatsApp sasa hivi 0621 072 026
 
Nenda kwenye website yao usome kila kitu wameelezea vizuri. Lecture anaingia darasani kwa faculty ya ICT pekee. Maximum time for undergraduate degree ni miaka 8. Yaani degree ya miaka 3 unaweza kuisoma hadi miaka 8. Kiko vizuri ingawa watu huwa wanakizarau.
kwa nini miaka nane
 
Kuhusu kupigwa pindi sahau.
Kinachofanyika ni ninyi kujiorganise walau muwe wa3 au wa4 then mnamtafuta lecture anawapigisha pindi hasa kwa zile course mnazoona ni ngumu kusoma wenyewe na kuelewa.

Baada ya hapo kila mtu anakula njia yake.
 
Samahani Naomba kuuliza, kama nimefanya course ni elective na nikapata supp.
Je naweza kuomba iyo course ifutwe kwenye kwenye Saris yangu?.
Yaan ionekane sijawahi kusoma course kama hiyo
 
Wadau naomba mwenye kukifahamu vizuri hiki chuo anisaidie coz nahitaji kujiunga ila nahitaji nifaham vitu vichache kabla ya kujiunga, kwanza nilikua naomba fahamu Teaching Method yaan lecture anaingia class kama vyuo vingine au hapo ni tofauti?, Pili ukishalipa Tuition fee maana yake ni lecture kuingia class tu na kupiga vipindi au lecture unamlipa private na kama private gharama zake zikoje!!

Naomba kuwakilisha.
The best University kwa wenye majukumu.
 
Back
Top Bottom