Jackpiano
JF-Expert Member
- Apr 19, 2025
- 531
- 651
Habarini wakuu
Naomba msaada wenu, nahitaji kupata OS ya Kali Linux au toleo lingine la Linux kwa ajili ya PC yangu. Ningependa nijifunze zaidi kuhusu cybersecurity na command line tools, lakini sijui ni wapi salama pa kudownload na jinsi ya kuiweka.
Kama kuna anayejua sehemu salama ya kudownload (labda link rasmi), au kama kuna mtu anayeweza kunisaidia kuinstall, nitashukuru sana.
PC yangu ni[ hp RAM 2]
Pia kama kuna thread tayari ina maelekezo, naomba mnisaidie link.
Asanteni sana
Naomba msaada wenu, nahitaji kupata OS ya Kali Linux au toleo lingine la Linux kwa ajili ya PC yangu. Ningependa nijifunze zaidi kuhusu cybersecurity na command line tools, lakini sijui ni wapi salama pa kudownload na jinsi ya kuiweka.
Kama kuna anayejua sehemu salama ya kudownload (labda link rasmi), au kama kuna mtu anayeweza kunisaidia kuinstall, nitashukuru sana.
PC yangu ni[ hp RAM 2]
Pia kama kuna thread tayari ina maelekezo, naomba mnisaidie link.
Asanteni sana