Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Do....:confused2:
Mtu B,
Ulijaribu kumdadisi huyo "Kaka" yako kama naye ni "mwanaume wa shoka"? Maana mwanamke kuishiwa hamu inategemea kwa kiasi KIKUBWA na mwanamume. Mwanamke yeye anahitaji kuwa "switched-on" kwa vyovyote vile kama mwanaume anasubiri mwanamke ndiye aanze huwa ni vigumu sana.
Kama ulivyosema ni mlokole fulani and so I doubt kama huyo "kaka" haya mambo yanamjia vizuri akili
Mambo si haya !!! jamani na mie nahitaji sana hiyo dawa naomba msaada naipata vipi???