laini kwa jinsi ulivyoandika ni waz sio rafiki yako n ww mwenyewe
No ts just that am good ktk kufikisha ujumbe kama nilivyopewa...
Kwa kuandika pia am good ndomana unaona kama ni mm kumbe nimevaa viatu vya mtu...
Na hii ndio kazi ya sanaa na fanani
Hapo kwenye kuacha sasa ndo hatarijee
umetokelezeiyya yaani,,,,, utafikiri ulitumbuliwa jipu kwanza
Hahaha jipu tena...?? Kwendraaa
we ni Jinsia Gani Kwani?hatarijee
ahahaha we huon umekunja sura hiv yaani hiyo glasi unavyomnywesha kama umelazimishwaaa iyo ndoa
Hata sijalazimishwa...pozi tu la siku ya harusi
kuna mdau mmoja ameniomba ushauri na akaomba pia niwaeleze na nyie wadau ili mumpe ushauri pia apime. Ni kwamba walikutana na binti wakazoeana na siku moja wametoka out lahaula yakawapanda wakala "tunda".
Sasa jana hiyoo binti anadai haoni "siku zake" ndo mdau kachanganyikiwa hajui afenyeje na anadai hayuko tayari kulea. Binafsi nimemwambia akacheki kama ni mimba na kama ni mimba bhasi walee tuu maana mm sio muumini wa kuchoropoa mimba.
Hebu na ww mpatie mdau ushauri afanyeje.
nb: Tuvumiliane na lugha zetu.
yani deme first time unauza mechi kavukavu.tutakufa wengi