walipima lakn?
she.nzi wanawake hawa watatumaliza na hizi mimba
Kama hamtaki mimba acheni uzinifu...tuone kama zitaingia kwa njia ya hewa
Hata mm nimewaza alternative nyingine siioni
haya majibu yako yanafanana na hiyo picha yako ya harusi kwenye avatar yako
mwambie akubali tu kulea maana wakati anakula papuch alipata laa pekee
Picha yangu ya harusi hiyo shosti....nimependeza eeh?