MSAADA KWA COMBINATION YA HGE

MSAADA KWA COMBINATION YA HGE

isaacsendama

Member
Joined
Feb 21, 2016
Posts
76
Reaction score
21
Naomba kufaham ni course gan naweza kusoma inayoendana na hyo comb ya HGE?msaada kwenu jamen niko njia panda kbsa, ushauri wenu ni muhmu sana kwangu kwani utanifnya kuwa na chaguo zuri
 
BAE, bachelor of art in economic

BAF, bachelor of art in finance

BAEST, bachelor of art in economic and statistics, kama BAM, ulifaulu vzur

BAED, bachelor of art with education, (najua watakuponda kwan ni ualimu wa art)

Bsc ANEB, bachelor of science in agricultural natural resources and business (udsm)
 
Course yoyote ya finance ,accounting, commercial, ardhi utasoma

Aya nenda shule
 
BAE, bachelor of art in economic

BAF, bachelor of art in finance

BAEST, bachelor of art in economic and statistics, kama BAM, ulifaulu vzur

BAED, bachelor of art with education, (najua watakuponda kwan ni ualimu wa art)

Bsc ANEB, bachelor of science in agricultural natural resources and business (udsm)
Nashukuru Sana mkuu,but vipi nikipata S ya Bam naweza kusoma hyo BAEST?
 
Hata sheria utasoma vile vile. Mwadi ufaulu vizuri
 
Nashukuru Sana mkuu,but vipi nikipata S ya Bam naweza kusoma hyo BAEST?
Sometimes wanachukuaga matokeo hata ya o level ya B/math sasa chunga Sana kutaka kusoma course zenye kuhitaji matokeo ya hesabu either ya o level or Advance ikiwa o level uko na "F" kupata "S" ya B/Math A level sio kitu kidogo ndugu yangu sababu ni nyembamba sana kwanza hilo somo ni subsidiary na hapo hapo uko na Economics 1&2 plus Geography 1 Kama huna foundation nzuri ya Geo itakuwa ngumu kdgo kupata muda mwingi wa kufanya hizo math hapo bado History 1&2

But any way when others factors remain you can mzee
 
Sometimes wanachukuaga matokeo hata ya o level ya B/math sasa chunga Sana kutaka kusoma course zenye kuhitaji matokeo ya hesabu either ya o level or Advance ikiwa o level uko na "F" kupata "S" ya B/Math A level sio kitu kidogo ndugu yangu sababu ni nyembamba sana kwanza hilo somo ni subsidiary na hapo hapo uko na Economics 1&2 plus Geography 1 Kama huna foundation nzuri ya Geo itakuwa ngumu kdgo kupata muda mwingi wa kufanya hizo math hapo bado History 1&2

But any way when others factors remain you can mzee
Inxhallah!!!!kuhsu O-level ckuwa na xhda Sana kwenye upnde wa B/math xhida iko Advance BAM ckutmia mda mwng xana kuixoma Kwan nilkuwa natumia concept za Olevel
 
Umeuelewa vzr huo uzi au unajibu tu pasipo kufkiria mkuu?
Huko unakotaka kupita mi nilishapita kitambo hivyo naandika kwa uzoefu... Kama unataka kupata coz za maana chuo nenda Egm.

Kingine acha dharau na maneno ya shombo hapa unataka ushauri na ushauri ni chochote na uamuzi ni wako kuufanyia kazi ama laa, acha dharau
 
Huko unakotaka kupita mi nilishapita kitambo hivyo naandika kwa uzoefu... Kama unataka kupata coz za maana chuo nenda Egm.

Kingine acha dharau na maneno ya shombo hapa unataka ushauri na ushauri ni chochote na uamuzi ni wako kuufanyia kazi ama laa, acha dharau
Sasa mkuu nitaendaje EGM wakat mm ni mhitimu wa kidato cha sita tyar kwa hyo Comb ya HGE na ndo maana naomba ushauri ni kozi gani nikasome au unamaanisha nirudi tena xhule nikachukue hyo EGM?
 
Back
Top Bottom