Yes, Kwamba akatae nafasi alioikubal uko chuo kimgine ili Huku mzumbe wamfikirie lakini ajue anaweza akakosa so ni maamuz yake achague patapotea, Washenz sana nakushaur achana nao Mzumbe usije ukakosa vyote.Uliapply Chuo chengine na ukaconfirm sasa hapo wanataka ucancel ili uwe admitted Mzumbe at your own risk. Kwa maelezo zaidi slide kwa dm
Dah na mm ndo nilivoelewa hivolakn Sasa hamna chuo nilichochaguliwa dirisha la kwanza ndo niliamua kurudia la pili Sasa nashangaa wanavoniambia Ivo meshindwa kuelewa anUliapply Chuo chengine na ukaconfirm sasa hapo wanataka ucancel ili uwe admitted Mzumbe at your own risk. Kwa maelezo zaidi slide kwa dm
Yan drisha la kwanza sikuchaguliwa vyuo nilivokuwa meapply sa nikarudia dirisha la pili lakn nashangaa wananitumia hiviYes, Kwamba akatae nafasi alioikubal uko chuo kimgine ili Huku mzumbe wamfikirie lakini ajue anaweza akakosa so ni maamuz yake achague patapotea, Washenz sana nakushaur achana nao Mzumbe usije ukakosa vyote.
Angalia vizuri kwenye admission account zako za vyuo ulizoapply unaweza ukawa selected, system za udahili za vyuo zinacommunicate na system ya TCU hivyo ukiomba chuo chengine itaonyesha uko selectedDah na mm ndo nilivoelewa hivolakn Sasa hamna chuo nilichochaguliwa dirisha la kwanza ndo niliamua kurudia la pili Sasa nashangaa wanavoniambia Ivo meshindwa kuelewa an
Lipo ndioHivi kuna dirisha la 3?
Baada ya tarh 19 linatokaLini watatoa?