Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Habari zenu the great thinkers!
Mimi nina degree ya uchumi ya pale mlimani,nina shauku kubwa ya kutaka kujiunga na jeshi JWTZ japo nasikia nafasi ni adimu sana kupata,,lengo ni kutaka kuuliza hivi kima cha chini cha mshahara kikoje,, yaan kwa profesnl na form six!?
Na je kuna challenge gani huko?
Mkuu naskia kwa sasa ngazi ya degree unaanzia mshahara wa 1.2M ukiacha marupurupu mengine
Habari zenu the great thinkers!
Mimi nina degree ya uchumi ya pale mlimani,nina shauku kubwa ya kutaka kujiunga na jeshi JWTZ japo nasikia nafasi ni adimu sana kupata,,lengo ni kutaka kuuliza hivi kima cha chini cha mshahara kikoje,, yaan kwa profesnl na form six!?
Na je kuna challenge gani huko?
Unasikia lakini huna hakika..na degree yako kama huna cheo usitegemee hiyo hela
Habari zenu the great thinkers!
Mimi nina degree ya uchumi ya pale mlimani,nina shauku kubwa ya kutaka kujiunga na jeshi JWTZ japo nasikia nafasi ni adimu sana kupata,,lengo ni kutaka kuuliza hivi kima cha chini cha mshahara kikoje,, yaan kwa profesnl na form six!?
Na je kuna challenge gani huko?
Kwa hiyo elimu yako (degree) kama ukifuzu cozy ya uafisa (TMA Monduli),utaanza na cheo cha luteni (nyota mbili)....
Mshahara (take home) utaanza na 1.6M Month,lakini kuna marupurupu na posho...
Changamoto zilizopo ni kwamba cozy officer cadet si ya kitoto,ni ngumu kiasi kwamba huwa inalinganishwa na mabawa mawili ya ukomando....
Kuhusu nafasi za ajirs,nahisi bado haujachelewa coz jeshi linauhitaji mkubwa wa wasomi ili kuongeza ufanisi katika chombo hicho...
ALL THE BEST COMMANDER
Asante mkuu kwa kunyoosha maelezo.
Mimi sijasiki nchi inayoanzisha kozi ya miezi mitatu ya kijeshi ambapo vijana wadogo makuruta wanatakiwa wajue kila kitu kwa muda huo mfupi.matokeo yake ni hayo mateso mnayoyapata na hata kusababisha vifo kwa vijana wetu.jkt kwa mujibu wa sheria imeanzishwa kiholela kama kambi za wakimbizi.bajeti yao ni finyu,miundo mbinu mibovu,vijana wamerundikwa kama nyanya na kuambukizana magonjwa ya mlipuko kama vile uti wa mgongo.pia kuna mazingira hatarishi kiasi kwamba kuna taarifa kwamba kuna waliofukiwa na vifusi huko masange jkt tabora.kwa taarifa hii angalia jamii forum ya tarehe 25.8.2013.huko huko jkt kuna wanaosulubiwa huku wanaumwa na hawapewi matibabu.mfano hai ni kifo cha mtoto wangu halima rehani aliefariki huko masange jkt tabora na huku wauaji hawa wakijaribu kwa nguvu zao zote kuficha sababu za kifo chake.mbali ya hayo kuna tetesi za vifo vingi zinazotisha.kwa haya yote hakuna anaejali na ndio kwanza wana mpango wa kuongeza idadi ya vijana huko jkt kutoka elfu kumi hadi elfu orobaini.je kwa matayarisha haya duni watakufa wangapi?haraka yote hiyo inayogharimu maisha ya vijana wetu ni ya nini?au mradi wa ibada za ki freemason za kuua watu bila ya kujali ndio umeanzishwa huko jkt?