Napenda sana aina hiyo ya nyimbo....naomba kutajiwa nyimbo na waimbaji wa nyimbo hizo
Una Shing ngapi?
Kuna moja anaitwa Brad Paisley, mgoogle ana nyimbo bomba!
Yupo cow boy mmoja anaitwa Dom Williams, bila kumsahau mwana mama Doly Patron.
Mkongwe Kenny Rogers naona kesha tajwa hapo juu.(rekebisha title iwe "country")
nawewe rekebisha. Ni Don Williams (sio Dom) na Dolly Parton (sio Patron)
Yupo cow boy mmoja anaitwa Dom Williams, bila kumsahau mwana mama Doly Patron.
Mkongwe Kenny Rogers naona kesha tajwa hapo juu.(rekebisha title iwe "country")
nawewe rekebisha. Ni Don Williams (sio Dom) na Dolly Parton (sio Patron)
Watajwa hapo juu ni wanamuziki wazuri wa "old school country" nadhani muziki wao tumeuzoea sana japokuwa wanatoa nyimbo mpya ni vizuri pia kugundua nyimbo mpya na wanamuziki wapya ili kupata ladha tamu ya muziki huu.
Country haiishii kwa Kenny Rogers na Dolly Parton tu...