Nisaidie mawasiliano yao mkuu kama unayoBoresha bandiko lako japo kidogo basi usaidiwe maana naona unahitaji watu waanze kuwa watabiri hatujui unako wapi au unataka kujua namna ya kufika Mpawpwa kutokea wapi??
Lakini pia jijengee uwezo wa kufahamu namna ya kupata taarifa sahihi bila kuuliza uliza kwenye mitandao ya kijamii maana ninaamini unao uwezo wa kupata mawasiliano ya chuo husika na wakakupa maelekezo ya namna ya kuwafikia kwa urahisi na uhakika