Q Qamala New Member Oct 9, 2016 1 0 Oct 9, 2016 #1 Guys nilikua napenda kufahu utaratibu was kureset advance. Ni kwa mchepuo was sanaa. Naweza nikafanya masomo mangapi (yaani kiwango cha chini).
Guys nilikua napenda kufahu utaratibu was kureset advance. Ni kwa mchepuo was sanaa. Naweza nikafanya masomo mangapi (yaani kiwango cha chini).
Emmanuel Yuzo New Member Oct 4, 2016 4 0 Oct 9, 2016 #3 Fanya yote ili kuwa na uwanja mkubwa wa kufanya vzr
K kwastlema Member Sep 12, 2016 85 38 Oct 9, 2016 #4 Fanya yote ,,,maaana unaeza fanya nusu af umekaribia necta ndalichako akabadili mfumo,,,,, unabaki kusema NINGE.....
Fanya yote ,,,maaana unaeza fanya nusu af umekaribia necta ndalichako akabadili mfumo,,,,, unabaki kusema NINGE.....
GITWA JF-Expert Member Apr 1, 2012 1,489 1,687 Oct 9, 2016 #5 Chukua Masomo matatu ya comb ubayoitaka alafu na GS ni ya lazima. Jumla Masomo manne
G GOD 66 JF-Expert Member Sep 3, 2015 628 270 Oct 9, 2016 #6 kama matokeo DEE karisit moja tu mwakani uje tena manyuz ya vyuo pole sana art kulisit