Naomba nikuulize bila shaaka changamoto yangu uko na majibu nayo,namuombea dogo langu ila nishasahau jinsi ya kuilipia 30k,nafaham pakuiweka control #,vip kuhusu kampuni unatumia ile 800500 ya heslb ama malipo ya serikali?!
Naomba nikuulize bila shaaka changamoto yangu uko na majibu nayo,namuombea dogo langu ila nishasahau jinsi ya kuilipia 30k,nafaham pakuiweka control #,vip kuhusu kampuni unatumia ile 800500 ya heslb ama malipo ya serikali?!
Ukiwa unasajili mnufaika MPYA ukimaliza HESLB itakupa Control Number kisha lipa kwa kisha malipo ya serikali...kisha namba ya malipo hapo bandika control number
Ukiwa unasajili mnufaika MPYA ukimaliza HESLB itakupa Control Number kisha lipa kwa kisha malipo ya serikali...kisha namba ya malipo hapo bandika control number