Msaada kutrack iPhone iliyoibiwa

Msaada kutrack iPhone iliyoibiwa

nakushauri karipoti police, utaipata mara moja kuna kitengo cha intelijensia watakusaidia, hulipi hata senti tano na simu unaipata ndani ya masaa 6, watu wa huku mtandaoni wanakudanganya museee. kila la kheri boss😱😱😛😛
Hapa bila cent bas utaiskia kweny bomba tu
 
Back
Top Bottom