Jitahidi kuwa mkavu mara nyingi yaani ukitoka kuoga jikaushe vizuri na taulo pia jitahidi kushave (kuonyoa huko sirini na kwenye kingo za mapaja vizuri maana hizo nazo husababisha mtu kuwa na jasho
Vaa nguo za ndani zilizo kavu na kama unaweza kuepuka kuvaa nguo za ndani na za nje ambazo ni nzito itakuwa vyema .pole kwa tatizo