Msaada kusoma masters UDSM

Kuanzia 3.5' hii inamaana uwe na upper second au first class


Hiyo upper second lazima iwe ya udsm hapo hapo, lakini kama ni ya chuo kingine vigezo hubadilika kulingana na chuo...
 
Hiyo upper second lazima iwe ya udsm hapo hapo, lakini kama ni ya chuo kingine vigezo hubadilika kulingana na chuo...

hadi 2.8 wanachukuliwa, inategemea unataka kusoma coz gan manake kila coz inavigezo vyake, wameshaanza kutoa matangazo ya application, tembelea mara kwa mara web yao
 
Back
Top Bottom