Jaribu ku search recovery software google utapata tu...kwangu sijawahi tumia ya simu ila niliwahi kutumia kwenye camera jamaa alifuta picha za site zote nikasaka net nikapata software
aksante mkuu, sasa hiyo recover unainstall kwenye simu au katika computer unaconnect simu.
Kama ni android na uliweka google account basi sync zitarudi. Kama ni iphone na uliweka iCloud pia zitakuwepo kwenye icloud. Otherwise sahau, recovery software itakuwa ngumu hapa maana contacts hazikaagi kwenyen memory card. Kama sio smartphone basi ndo hakuna hope.
kibwagizo tatizo lenu nyie mpaka mpate matatizo ndo mnakuja, kama hujaandaa msingi vizuri unafkiri tatizo likitokea utaweza kulikabili?
kama ungekua umefanya backup ya contact sasa hv ungekua unazirudisha tu.
kama ni android jaribu kubahatisha labda kuna siku ulizisync na email yako ya google. ila kama ni hizi simu ndogo sahau