Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,091
- 165,234
Pole, ushauri ushapewa hapo juu watu wa kuwafata, waaipokuelewa kwakua ushasoma basi utaangalia ustaarabu mwingineNilinyimwa ruhusa ya kwenda kusoma nikaamua kuacha kazi ili nisome
Pole, ushauri ushapewa hapo juu watu wa kuwafata, waaipokuelewa kwakua ushasoma basi utaangalia ustaarabu mwingineNilinyimwa ruhusa ya kwenda kusoma nikaamua kuacha kazi ili nisome
mkuu pole ila ni kosa lako,kifupi ni muda mrefu hvo lazima utakuwa terminated swala la kuweka no ktk automatic deposit hapo halipo.nenda kwa afisa utumishi mkuu mweleze atakupa utaratibu,huwa ni zoez gumu but try mana wewe kuliwa kichwa ni rahs sana ila kukurudisha ni isu.ktk hl pia kuna hatua mfano unatakiwa kuwashirikisha kiongoz wa dini,mwanasiasa au pia mwanasheria kama niko sahihi ktk hz isu zetu za utumishiWadau mimi nilikuwa mwalimu wa sekondari niliacha kazi kama miaka minne iliyopita, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi.
Saa hizi nahitaji tena karudi kufanya kazi Serikalini je ntapokelewa, na maombi natuma kwa nani, Tamisemi au kwa Katibu Mkuu?
Bila Utumishi ndo inakuaje mkuuKama uliondoka bila ruhusa utakua ulihesabiwa mtoro Kama watoro wengine, kafatilie kwa mwajiri wako Kama walishakuchukulia hatua za kinidhanu nikiwa na Maana kukufungulia mashtaka TSD au Alikula kimya.
Kama hukufunguliwa mashtaka na kufukuzwa kazi bila UTUMISHI.
Kafatilie kwa HRO akuambie alisimamishaje mshahara wako. Maana kurudi kwenye payroll inasumbua sana baada ya Lawson kuanza
Kati ya pesa na elimu chagua pesa na kati ya pesa na akili chagua akili ...wewe ulichagua elimu na kuacha pesa tatizo lipo hapo ...Wadau mimi nilikuwa mwalimu wa sekondari niliacha kazi kama miaka minne iliyopita, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi.
Saa hizi nahitaji tena karudi kufanya kazi Serikalini je ntapokelewa, na maombi natuma kwa nani, Tamisemi au kwa Katibu Mkuu?