DuhNenda stationary wakutolee cheti chenye jina sahihi maisha yaendelee, ya nini kuumiza akili.
Namba nilipata baada ya kuifuatilia maana haikutolewa mwanzoni nikaambiwa ilifungiwa kisa majina yalikosewa nikamuuliza yule mdada akasma ni kweli walikoosea wao NIDA hayaendani na kwenye taarifa zangu nilizotoaNamba tayari umeshapata?
Kwanza unatakiwa kuwashtaki hao NIDA, mkuu. Ni kosa la jinai kukosewa jina lako kwa uzembe kiasi hicho, tena kwa chombo chenye dhamani kubwa kama NIDA.
NB: Wadai hata milioni 800 huko hadi akili ziwakae.
Kama tayari uliwasiliana nao kuwaambia kosa lao, ni jibu gani walilokupa?Namba nilipata baada ya kuifuatilia maana haikutolewa mwanzoni nikaambiwa ilifungiwa kisa majina yalikosewa nikamuuliza yule mdada akasma ni kweli walikoosea wao NIDA hayaendani na kwenye taarifa zangu nilizotoa
cc: Pascal MayallaSina hela ya kumlipa wakili😀