cuchi
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 218
- 74
Habari za sikukuu wakuu!! Naomba msaada wa mdau anayejua njia mbadala ya kupunguza unene kwenye mikono!nina umbo la kawaida ila nina mikono ka nanyanyua vyuma yaaan kiasi cha kwamba nikivaa nguo ya kata mikono ka nataka kupaa! Yaaan mikono yng na mwili wng ni vitu wiwili tofautiplz wadau nisaidieni!!
