mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 918
- 2,266
Habari za muda huu wana jamvi.
Nina rafiki yangu anataka kwenda Australia kwa kaka yake (a short visit) but tumejaribu kuulizia ubalozi kwa ajili ya VISA bahati mbaya tumeambiwa hakuna office za ubalozi hapa tz.
Naombeni msaada wana jamvi jinsi gani anaeza kupata VISA hio maana tumehangaika mitandaoni bila ahueni.
Natanguliza shukrani za dhati.
Nina rafiki yangu anataka kwenda Australia kwa kaka yake (a short visit) but tumejaribu kuulizia ubalozi kwa ajili ya VISA bahati mbaya tumeambiwa hakuna office za ubalozi hapa tz.
Naombeni msaada wana jamvi jinsi gani anaeza kupata VISA hio maana tumehangaika mitandaoni bila ahueni.
Natanguliza shukrani za dhati.