Msaada: Kupata Internet kupitia Nokia "Dabo-Dabo"

Mshindo

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2009
Posts
478
Reaction score
186
Wakuu Habari!
Nimenunua kithimu changu cha NOKIA C-200, al maarufu "dabo dabo". Kimenigomea ku-connect internet. Nimewapigia providers wangu Tigo na Vodaphone,wote wanasema hawawezi ku-connect kwa simu yenye chip zaidi ya moja. Vipi kuna work around yeyote wakuu?
Shukrani!
 
Toa line 2 halafu fanya config kwa kutumia line 1
 
cm kama hiyo nimeunganisha jana,tumia model tofauti mfano tumi wap nokia n70 kwa voda tuma 15300 utapokea confg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…