Huwa wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...................kaka hapa anavuna alichokipanda unakuta wakati alivyokuwa na Kazi alikuwa ni wa kumtoa wife out na pombe kwa sana kama vile wapo kwenye uboyfriend na Ugirlfriend wakati wao tayari ni wanandoa............Mama kaamua kubaki kwenye starehe....Jamaa atafute kazi na apeleke mtoto kwa Bibi yake akalelewe huko na arudi aendeleze ligi na mke wake wote ni watu wa Sterehe.Miaka miwili ya ndoa mnakunywa na kustarehe mpaka usiku ndoa gani hiyo.
Anamuonea huruma mtoto sasa huyo mtoto anapata raha gani hapo kutoka kwa mama yake? Mmama anaeweza kuacha mtoto wa miezi mitano hm na yeye kwenda bar kila siku huyo mtoto akifikisha umri wa mwaka na kuanza kutembea si ndio atakua anatelekezwa hata wiki?
maty, ukiskiza kesi ya ndoa upande mmoja utaona jinsi hawa watu wako biased. ukiona simba amekimbia ameacha mtoto ujue ngoma imebamba. hapa anaonekana mbaya huyo mwanamke tu,unajua ukimpewa huyo baba unaweza ukamuua ukasahau kumrudisha kwa mkewe! siamini kaka mwanamke ana pumzi ya kunywa pombe kila siku na kurudi saa nane za usiku.manake hata hawa wanaume wanaojidai wanakunywa hadi saa nane usiku tunajua kabisa kuna mahali anapita kunyoosha mgongo na kupunguza usingizi ila kwa vile mkewe ana ushahidi basi tena kesi inapotelea hewani! huyo wivu tu unamsumbua,kwa vile hana kazi mkewe akirudi home kapita mahali mara mojamoja na washkaji akanywa bia 2 roho inamtoka. same as mwanamke ambae ni mama wa nyumbani,mume akirudi saa nne usiku kanywa bia 4 unajiskia kama analala nje manake toka atoke asubuhi unamsubiria aje upige nae michapo mpenzi wako. nimetaka kumpa mtoa mada majibu calm,ambayo huwa wanatupa sie tukilalamika na tukakasirika wanatuona wa ajabu. hahaha,nadhani umenielewa,lol
Huwa wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...................kaka hapa anavuna alichokipanda unakuta wakati alivyokuwa na Kazi alikuwa ni wa kumtoa wife out na pombe kwa sana kama vile wapo kwenye uboyfriend na Ugirlfriend wakati wao tayari ni wanandoa............Mama kaamua kubaki kwenye starehe....Jamaa atafute kazi na apeleke mtoto kwa Bibi yake akalelewe huko na arudi aendeleze ligi na mke wake wote ni watu wa Sterehe.Miaka miwili ya ndoa mnakunywa na kustarehe mpaka usiku ndoa gani hiyo.
jamaa anadai si mara moja au mbili alishakuta msg kutoka kwa wanaume kuhusiana na mialiko ya kwenda kunywa na hasa kuna moja anaelekezwa yule mwanamke aende guest moja hapo kkoo mtaa wa kongo na yeye anasema yupo chini restaurant anaogopa kupandisha ngazi kwa ajili ya giza
Naunga mkono hoja. Hapa kuna kila dalili kuwa ndoa haiku base kwenye love haiwezekani ndani ya kipindi kifupi hicho pendo likachuja; HALIKUWEPO KABISA. Tatizo kaka zangu mnaoa material girls! Sasa material yakiisha unakuwa ni mzigo kweli kweli kwa mamaa.
Another picture that I get ni kuwa huyu mwanamke atakuwa soo attractive maana ana mtoto wa miezi mitano afu bado anawapanga majamaa. Wanawake wazuri wanataka fweza!
Hapo hamna suluhu ni talaka tu. Akipata kazi atafute mke si kuparamia mabinti tu mtaani. Na walikuwa hawana dini mpaka aoe kimila? Au alipromote nyumba ndogo na sasa anaiita wife?