shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
habari wadau.
ninahangaika kununua umeme muda mrefu.. kila salio inanigomea..
wadau wenye experience na hili tatizo naombeni msaada..
kila salio nalonunua naambiwa halifai.. nimejarib max malipo, mpesa,nmb mobile, kote zengwe tu etc.
je kwenye hizi mita mpya ni kiasi gani cha kuanzia kununua..
ninahangaika kununua umeme muda mrefu.. kila salio inanigomea..
wadau wenye experience na hili tatizo naombeni msaada..
kila salio nalonunua naambiwa halifai.. nimejarib max malipo, mpesa,nmb mobile, kote zengwe tu etc.
je kwenye hizi mita mpya ni kiasi gani cha kuanzia kununua..