Tafuta watu mkuu ila hata m nauza laptop nzuri kwa bei ndogo tena nimezidi hadi za njee karibu
Chief nina laki tano keshi unashauri used yenye spec zipi kwa hapa bongoIssue shipping ila Amazon na ebay zipo za kutosha.
Kama unanunua laptop za bei (zaidi ya milioni) unaweza agizishia. Ila hizi used zetu za laki kadhaa vyema ununue hapa hapa nchini
Laki 5 unapata i5 ma i7 gen ya 4. Au i3 gen ya 6/7.Chief nina laki tano keshi unashauri used yenye spec zipi kwa hapa bongo
Hakuna laptop ya maana utaipata kwa laki tano, kuwa makini mkuu usije ukauziwa kimeoChief nina laki tano keshi unashauri used yenye spec zipi kwa hapa bongo
Used sio mpya mzeeHakuna laptop ya maana utaipata kwa laki tano, kuwa makini mkuu usije ukauziwa kimeo
Hata hizo used mzee, za laki 5 sio za kuaminikaUsed sio mpya mzee