English Learner
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 355
- 355
Wapendwa,
We're witnessing a reverse trend on the subject above. I though Kujivua Gamba meant to cleanse CCM house by exterminating corrupt members. The campaigners thought by doing so, the party could regain lost popularity before the public eyes. But what is happening is contrary! Now, I am wondering, may be kujivua gamba ilimaanisha kuvua gamba la Kobe na si la nyoka! Nyoka ni kawaida kuvua gamba na akaendelea kuishi. Lakini Kobe akivua gamba hatma yake ni kifo.
Hili gamba linalovuka mwili wa ccm kwa ratiba linagonga kengere ya taarifa ya msiba. Na wenye msiba ni wale waliobuni "Kujivua Gamba". Wao wamechura mpaka wengine wamechanganyikiwa (Baba Kakimbia Mji wakati kwake kunateketea) na Wengine Koo zimewakauka baada ya kuchura na kupiga yowe sana (Nape na Mkama) sasa hawana hata la kusema.
Nifafanulieni, kuvua gamba ilimaanisha haya yanayotokea?
We're witnessing a reverse trend on the subject above. I though Kujivua Gamba meant to cleanse CCM house by exterminating corrupt members. The campaigners thought by doing so, the party could regain lost popularity before the public eyes. But what is happening is contrary! Now, I am wondering, may be kujivua gamba ilimaanisha kuvua gamba la Kobe na si la nyoka! Nyoka ni kawaida kuvua gamba na akaendelea kuishi. Lakini Kobe akivua gamba hatma yake ni kifo.
Hili gamba linalovuka mwili wa ccm kwa ratiba linagonga kengere ya taarifa ya msiba. Na wenye msiba ni wale waliobuni "Kujivua Gamba". Wao wamechura mpaka wengine wamechanganyikiwa (Baba Kakimbia Mji wakati kwake kunateketea) na Wengine Koo zimewakauka baada ya kuchura na kupiga yowe sana (Nape na Mkama) sasa hawana hata la kusema.
Nifafanulieni, kuvua gamba ilimaanisha haya yanayotokea?