Msaada: Kujivua Gamba; CCM ilimaanisha nini?

English Learner

JF-Expert Member
Jan 1, 2012
355
355
Wapendwa,

We're witnessing a reverse trend on the subject above. I though Kujivua Gamba meant to cleanse CCM house by exterminating corrupt members. The campaigners thought by doing so, the party could regain lost popularity before the public eyes. But what is happening is contrary! Now, I am wondering, may be kujivua gamba ilimaanisha kuvua gamba la Kobe na si la nyoka! Nyoka ni kawaida kuvua gamba na akaendelea kuishi. Lakini Kobe akivua gamba hatma yake ni kifo.

Hili gamba linalovuka mwili wa ccm kwa ratiba linagonga kengere ya taarifa ya msiba. Na wenye msiba ni wale waliobuni "Kujivua Gamba". Wao wamechura mpaka wengine wamechanganyikiwa (Baba Kakimbia Mji wakati kwake kunateketea) na Wengine Koo zimewakauka baada ya kuchura na kupiga yowe sana (Nape na Mkama) sasa hawana hata la kusema.

Nifafanulieni, kuvua gamba ilimaanisha haya yanayotokea?
 
Wapendwa,

We’re witnessing a reverse trend on the subject above. I though Kujivua Gamba meant to cleanse CCM house by exterminating corrupt members. The campaigners thought by doing so, the party could regain lost popularity before the public eyes. But what is happening is contrary! Now, I am wondering, may be kujivua gamba ilimaanisha kuvua gamba la Kobe na si la nyoka! Nyoka ni kawaida kuvua gamba na akaendelea kuishi. Lakini Kobe akivua gamba hatma yake ni kifo.

Hili gamba linalovuka mwili wa ccm kwa ratiba linagonga kengere ya taarifa ya msiba. Na wenye msiba ni wale waliobuni “Kujivua Gamba”. Wao wamechura mpaka wengine wamechanganyikiwa (Baba Kakimbia Mji wakati kwake kunateketea) na Wengine Koo zimewakauka baada ya kuchura na kupiga yowe sana (Nape na Mkama) sasa hawana hata la kusema.

Nifafanulieni, kuvua gamba ilimaanisha haya yanayotokea?

Mkuu wangu, wenye hekima zao walisema na wakatahadharisha kwamba nyoka akivua gamba huwa anakuwa na sumu mara dufu - yaani anakuwa hatari zaidi. Na hili ndilo linalotokea; UFISADI umepaa kwenye serikali ya CCM baada ya "mradi" ule wa kujivua gamba.
 

mkuu wangu, wenye hekima zao walisema na wakatahadharisha kwamba nyoka akivua gamba huwa anakuwa na sumu mara dufu - yaani anakuwa hatari zaidi. Na hili ndilo linalotokea; ufisadi umepaa kwenye serikali ya ccm baada ya "mradi" ule wa kujivua gamba.

gamba lenyewe limevuka???
Bado wanalo aati!
 
Wapendwa,

We're witnessing a reverse trend on the subject above. I though Kujivua Gamba meant to cleanse CCM house by exterminating corrupt members. The campaigners thought by doing so, the party could regain lost popularity before the public eyes. But what is happening is contrary! Now, I am wondering, may be kujivua gamba ilimaanisha kuvua gamba la Kobe na si la nyoka! Nyoka ni kawaida kuvua gamba na akaendelea kuishi. Lakini Kobe akivua gamba hatma yake ni kifo.

Hili gamba linalovuka mwili wa ccm kwa ratiba linagonga kengere ya taarifa ya msiba. Na wenye msiba ni wale waliobuni "Kujivua Gamba". Wao wamechura mpaka wengine wamechanganyikiwa (Baba Kakimbia Mji wakati kwake kunateketea) na Wengine Koo zimewakauka baada ya kuchura na kupiga yowe sana (Nape na Mkama) sasa hawana hata la kusema.

Nifafanulieni, kuvua gamba ilimaanisha haya yanayotokea?

Kwanza umenifurahisha na kiswahili chako cha "Kuchura" maana kwa ki kwetu ni kupiga mayowe a.k.a ndulu. Kuhusu kujivua gamba ni kwamba gamba lilianza kuwasha wakakubaliana walivue. Sasa gamba likajua kabisa kuwa linataka kutolewa......liakjizatiti likagoma kutoka....halitaki kutoka...wala halitarajiii kutoka!!!! matokeo yake lina msulubisha aliyetaka kulitoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom