MtanzaniaJeuriSr.
Senior Member
- Mar 28, 2012
- 187
- 96
Af sema mkuu ukisoma hiyo thread ya xda jamaa wanadai ina bugs nyingi sana, error zipo kibao yani.Yani ukifika stage mpaka Una twrp unaweka tu rom kwenye internal storage Kisha unaenda kwenye twrp unachagua install from zip Kisha unachagua rom na kuflash.
Hakikisha pia kabla hujaboot unclear data na cache kuondoa conflicts na rom iliopita.
Ila ukikosea rom inaingia kwenye bootloop inazima na kuwaka muda wote.
Vipi kwa hizi rom za lineage kwani na zenyewe hua zina shida.....!?Kama umeshaweka twrp na root maana yake bootloader tayari iko unlocked jambo la kuzingatia sasa ni kwamba rom utakayoflash iendane na simu yako pia ufanye backup kabla hujaflash simu na pia uwe na stock rom pembeni incase things go wrong.... pia hakikisha unatumia sd card maana internal storage itakuwa wiped ila sd card haiwezi kuwa wiped kwenye installation na itakusaidia ukikosea step kurudia zoezi zima...
Sio lazima uweke rom hio mkuu, kwanza miui nzito kwa Simu ya sd 800 huko itasumbua. Tafuta rom ambayo ipo close na stockAf sema mkuu ukisoma hiyo thread ya xda jamaa wanadai ina bugs nyingi sana, error zipo kibao yani.
Nahitaji kutoka kwenye hii android 6 nisogee mbele, na huku nikiwa na uwezo wa ku customize vile napenda mimi, device info ni kama kwenye screeshot hapo chini.Mimi nikusumbue tu andika jina sahihi la simu yako (model ) afu unataka kuweka nini
Unahisi baada ya kuweka hicho kitu kitasaidia mini kwenye simu yako........
Kama utaona usumbufu kutaja sababu
Basi taja model na hii tutakusaidia lakini utahusika na uhusika wote ikiwa kuna shida itajitokeza
Simu ni Sony xperia z3 compact D5803 DocomoMimi nikusumbue tu andika jina sahihi la simu yako (model ) afu unataka kuweka nini
Unahisi baada ya kuweka hicho kitu kitasaidia mini kwenye simu yako........
Kama utaona usumbufu kutaja sababu
Basi taja model na hii tutakusaidia lakini utahusika na uhusika wote ikiwa kuna shida itajitokeza
Mkuu af pale kwenye website ya lineage naona wana recovery yao, vp kwani ni lazima uitumie ile yao kati tayari kuna nyengine.Sio lazima uweke rom hio mkuu, kwanza miui nzito kwa Simu ya sd 800 huko itasumbua. Tafuta rom ambayo ipo close na stock
Mkuu usijichanganye ukaenda moja kwa moja site ya lineage kudownload vitu na kuflash.Mkuu af pale kwenye website ya lineage naona wana recovery yao, vp kwani ni lazima uitumie ile yao kati tayari kuna nyengine.
Ok shukrani mkuu, wawezanipa msaada plz ni wapi naeza anzia kufanikisha hili.Mkuu usijichanganye ukaenda moja kwa moja site ya lineage kudownload vitu na kuflash.
Lineage Wana develop then developers wengine Wana optimize kwa ajili ya simu mbalimbali, unatakiwa ufuate maelezo ya developer husika ya namna ya kuweka hio lineage.
Mkuu Pitia tu jukwaa la simu yako xda utapata rom zote na maelekezo yoteOk shukrani mkuu, wawezanipa msaada plz ni wapi naeza anzia kufanikisha hili.
Ok thanks sana mkuu naona hiyo mx imenivutia sana, af pia ina support Locked bootloader ngoja kesho nitiflash then ntaleta mrejesho.Mkuu Pitia tu jukwaa la simu yako xda utapata rom zote na maelekezo yote
Sony Xperia Z3 Compact
The Sony Xperia Z3 Compact is Sony's next compact Xperia Z device. Notable features include the new shooter, featuring an impressive 20.7MP 1/2.3" imaging sensor, with a Sony G 25mm lens and maximum ISO of 12800 for low light conditions. It also supports Hi-Res audio with onboard amplification...forum.xda-developers.com
Hapa unapata rom
Xperia Z3 Compact Original Android Development
Original Android development for the Sony Xperia Z3 Compactforum.xda-developers.com
Then unaangalia hizo thread ipi ina version ya docomo na locked bootloader
[ROM][Z3C][6.01][LB/UB][.291]|X Features|Mx ROM|V8.6.0|☆Best Battery|☆[27/8/2016]
[ROM][Z3C][6.01][LB/UB][.291]|X Features|Mx ROM|V8.6.0|☆Best Battery|☆[27/8/2016] INTRODUCTION The world is too big, you want to go out to see, welcome to experience and enjoy the Mx ROM. Hello, everyone, I am glad to pick you up, the work is...forum.xda-developers.com
Angalia mwenyewe ila nimepitia rom mbili Tatu zote zinataka bootloader iwe unlocked, sijafahamu kama kuna eneo wamelist rom za simu ambayo bootloader ipo locked.
Shukrani mkuu niko njiani piaKaribu kwenye ulimwengu wa custom romsView attachment 1736025
Chief-MkwawaMimi nina Sony Xperia Z5 SO-01H
Napenda niweke Custom Rom.
Nimecheki Unlocked bootloader ipo No.
Naomba muongozo wa kuRoot, kuweka Twrp pamoja
na kupata Custom Rom sahihi kwa simu hiyo.
Kama huwezi ku unlock bootloader unless Kuna njia ya kubypass ila most of time hutaweza ku root na kuweka custom rom.Mimi nina Sony Xperia Z5 SO-01H
Napenda niweke Custom Rom.
Nimecheki Unlocked bootloader ipo No.
Naomba muongozo wa kuRoot, kuweka Twrp pamoja
na kupata Custom Rom sahihi kwa simu hiyo.
Dah ushakua mtihaniKama huwezi ku unlock bootloader unless Kuna njia ya kubypass ila most of time hutaweza ku root na kuweka custom rom.