Tamthilia ulizozitaja hapo juu zinapatikana kupitia DSTV, kwenye kifurushi cha bomba 19,000.Pamoja na Tamthilia nyingine nyingi.
Bei ya DSTV full set ni Tsh 99,000 ufundi 20,000. Unapata kifurushi cha Family 29,000 mwezi mmoja bure.
Kazi kwako Mkuu
Kaluluma