Msaada kuhusu utofauti kati ya paper-based and internet-based toefl test

Msaada kuhusu utofauti kati ya paper-based and internet-based toefl test

Babumaua

Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
25
Reaction score
3
Habarini za asubuhi waungwana!
Ninaomba ufafanuzi kuhusu utofauti kati ya PAPER-BASED AND INTERNET-BASED TOEFL TEST kwa yeyote anayejua. natakiwa nifanye test hiyo na nimeambiwa nichague kati ya hizo mbili ili nifanye tar 10.
Tafadhalini anayejua pia vitu gani vya msingi mtu unapaswa kujiandaa navyo katika mtihani wa aina huo.
Natanguliza shukrani za dhati.
 
Ni kama majina yanavyojieleza tu mpwa. Hio ya pili wanakuvisha headphones halafu unakua uko kwenye computer unafuata maelekezo unafanya paper. Nilishafanya pale UCC Mlimani mwaka 2008, ila kwa taarifa zaidi na kama unataka kufanya mazoezi ingia Google
 
Back
Top Bottom