Msaada kuhusu UTI

Victor Bravo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
261
238
Salamu zangu kwa wote humu ndani, mimi ni kijana wa kiume nina miaka 25, nakumbuka mwaka jana kwenye mwezi wa 10 ivi nilipatwa na tatizo la UTI ambalo lilinishtua kidogo kwasababu sikuwahi kuumwa halafu ni kama ilikua UTI kali japo sijui UTI kali na isiyo kali ni ipi.

Kwanini nasema kali kwasababu yalianza tu maumivu wakati wa kukojoa mimi nikiwa nayapuuza tu badae maumivu yakazidi badoo nikahisi ni tatizo linapita tuu,,lkn siku moja naamka asubuhi naona kama boxer yangu ina usaha kabisaa nikashtuka kweeli,,khali ya mfuko nayo si nzuri ikabidi nitafute hela niende hospitali lakini siku moja kabla ya kwenda hosptal nikajiangalia ivi uume asubuhi nikakuta usaha mwingi saana unatoka kwenye sehemu ya kutolea mkojo, nikapata wasi wasi moja kwa moja mpaka hospitali

Hosptal wakachukua kipimo cha mkojo wakaniambia tu nina UTI wakanipa dawa aina mbili tu za kumeza cipro na panadol afu walinipa nusu dozi sijui nikameza zikaishaa nafuu kidogo nikapata.

Lakini khali ya maumivu ikaendelea kunipata, nikaongea na jamaa yangu mmoja ivi wa karibu akaniambia yeye mwenyewe anasumbuliwa na UTI lakini dozi iliyomponyesha ni ya cipro pamoja na doxy, akanishauri nitumie pia nikatumia nikapata nafuu, lakini sikupona kabisaa yaani ikawa kama nimekunywa maji mengi maumivu sisikii ila nikiwa busy sijanywa maji nasikia maumivu.

Mpakaa leo naandika hapa bado nasikia maumivu wakati wa kukojoa hasa wakati wa asubuhi ndio maumivu huwa makali zaidi sasa NAOMBENI USHAURI doctors wa humu je kuna dawa naweza nikatumia kwa tatizo hili ambazo ni nzuri kuliko cipro na doxy, au nirudi tena hospitali?

Natanguliza shukrani zangu!
 
Hiyo ni asymptomatic gonnorrhea(kisonono).....ni nadra sana kuitofautisha na UTI inabidi uende hospitali nzuri wakufanyie discharge swab waoteshe hiyo discharge kuona kama kuna Growth yyt ya gonococci bacteria....uko mkoa gani??...ili nione namna ya kukusaidia
Nipo mbeya mkuu
 
POle sana Ndugu yangu unapaswa kupma magonjwa ya ngono yote , inawezekana ,sometimes hospital zenu hutabili majibu bla kupma so walitumia maelezo yako inavyoonyesha, fanya vipmo vyote vya STD katk hospital nyingine ya uhakika , uwaambie unahtaji kupma StD . alafu ukipata majibu njoo uniambie
 
POle sana Ndugu yangu unapaswa kupma magonjwa ya ngono yote , inawezekana ,sometimes hospital zenu hutabili majibu bla kupma so walitumia maelezo yako inavyoonyesha, fanya vipmo vyote vya STD katk hospital nyingine ya uhakika , uwaambie unahtaji kupma StD . alafu ukipata majibu njoo uniambie
nashukuru mkuu wacha nifanye ivoo
 
Mimi pia sikuwahi kuumwa u.t.I ikaanza mwaka Jana..
nmekunywa:
Cipro
Metro
Dox
Flu can
zile za kutumbukiza kwa papuchi aina zote
zile za rangi mbili
nmechoma cetriaxone mpaka mishipa imesimama...ya mkononi!

yani mwaka Jana nmeumwa zaidi ya mara5
mpka napotezea sometimes...
yani nmechoma sindano mpaka najichanganyia mwenyewe kasoro kujichoma!

Mimi nahisi hizi dawa haziondoi ugonjwa!
zinazidisha!!
na mpaka sasa Niko na dozi ...
ya (NITROFRULANTOIN & PIROXICAM)
jaribu hizo nasikia ni nzuri Sana.
 
Salamu zangu kwa wote humu ndani, mimi ni kijana wa kiume nina miaka 25, nakumbuka mwaka jana kwenye mwezi wa 10 ivi nilipatwa na tatizo la UTI ambalo lilinishtua kidogo kwasababu sikuwahi kuumwa halafu ni kama ilikua UTI kali japo sijui UTI kali na isiyo kali ni ipi.

Kwanini nasema kali kwasababu yalianza tu maumivu wakati wa kukojoa mimi nikiwa nayapuuza tu badae maumivu yakazidi badoo nikahisi ni tatizo linapita tuu,,lkn siku moja naamka asubuhi naona kama boxer yangu ina usaha kabisaa nikashtuka kweeli,,khali ya mfuko nayo si nzuri ikabidi nitafute hela niende hospitali lakini siku moja kabla ya kwenda hosptal nikajiangalia ivi uume asubuhi nikakuta usaha mwingi saana unatoka kwenye sehemu ya kutolea mkojo, nikapata wasi wasi moja kwa moja mpaka hospitali

Hosptal wakachukua kipimo cha mkojo wakaniambia tu nina UTI wakanipa dawa aina mbili tu za kumeza cipro na panadol afu walinipa nusu dozi sijui nikameza zikaishaa nafuu kidogo nikapata.

Lakini khali ya maumivu ikaendelea kunipata, nikaongea na jamaa yangu mmoja ivi wa karibu akaniambia yeye mwenyewe anasumbuliwa na UTI lakini dozi iliyomponyesha ni ya cipro pamoja na doxy, akanishauri nitumie pia nikatumia nikapata nafuu, lakini sikupona kabisaa yaani ikawa kama nimekunywa maji mengi maumivu sisikii ila nikiwa busy sijanywa maji nasikia maumivu.

Mpakaa leo naandika hapa bado nasikia maumivu wakati wa kukojoa hasa wakati wa asubuhi ndio maumivu huwa makali zaidi sasa NAOMBENI USHAURI doctors wa humu je kuna dawa naweza nikatumia kwa tatizo hili ambazo ni nzuri kuliko cipro na doxy, au nirudi tena hospitali?

Natanguliza shukrani zangu!
Fanya hivi nenda hospitali ya rufaa mbeya au ya mkoa uonane na dr ufanyiwe culture/waoteshe mkojo kwenye media ili waone ni bacteria gani ataota wakishaota watatumia hao bacteria kufanya sensitivity test kuangalia ni dawa ipi inaweza kumaliza tatizo hilo na dawa utakayopewa ndio itamaliza tatizo

Kosa
Wewe ulikuwa na dalili za gonococco arthrits ambayo ni ugonjwa wa kisonono(gonnorhea) wakati wanakutibu walikosea kukupa tiba maana ciplo sio rahisi kuondoa tatizo na panadol tuu
Dr wa kwanza kabisa alitakiwa akupe mchanganyiko wa dawa za either
Ciplo7+doxy7+metro5 or sindano spectomycin or powercef 2g stat uendelee na ciplo dox na metr
So kakosea kasababisha wamekuwa sugu sasa fanya culture tuu
 
Fanya hivi nenda hospitali ya rufaa mbeya au ya mkoa uonane na dr ufanyiwe culture/waoteshe mkojo kwenye media ili waone ni bacteria gani ataota wakishaota watatumia hao bacteria kufanya sensitivity test kuangalia ni dawa ipi inaweza kumaliza tatizo hilo na dawa utakayopewa ndio itamaliza tatizo

Kosa
Wewe ulikuwa na dalili za gonococco arthrits ambayo ni ugonjwa wa kisonono(gonnorhea) wakati wanakutibu walikosea kukupa tiba maana ciplo sio rahisi kuondoa tatizo na panadol tuu
Dr wa kwanza kabisa alitakiwa akupe mchanganyiko wa dawa za either
Ciplo7+doxy7+metro5 or sindano spectomycin or powercef 2g stat uendelee na ciplo dox na metr
So kakosea kasababisha wamekuwa sugu sasa fanya culture tuu
Duu Asantee mkuu nitajitahidi niende rufaa... Japo mpka natishika sasa hiyo gonoccoco sijui nimeikuta wapi daaa
 
Mimi pia sikuwahi kuumwa u.t.I ikaanza mwaka Jana..
nmekunywa:
Cipro
Metro
Dox
Flu can
zile za kutumbukiza kwa papuchi aina zote
zile za rangi mbili
nmechoma cetriaxone mpaka mishipa imesimama...ya mkononi!

yani mwaka Jana nmeumwa zaidi ya mara5
mpka napotezea sometimes...
yani nmechoma sindano mpaka najichanganyia mwenyewe kasoro kujichoma!

Mimi nahisi hizi dawa haziondoi ugonjwa!
zinazidisha!!
na mpaka sasa Niko na dozi ...
ya (NITROFRULANTOIN & PIROXICAM)
jaribu hizo nasikia ni nzuri Sana.
Asante madame,polee nawewe pia
 
Duu Asantee mkuu nitajitahidi niende rufaa... Japo mpka natishika sasa hiyo gonoccoco sijui nimeikuta wapi daaa
Kama ulikutana na mwanamke mwenye tatizo la pid na kuumwa sana tumbo na kuumia wakati wa sex obviously ni rahisi kupata gonno wanawake wengi ni carriers wa ttz
 
Duu Asantee mkuu nitajitahidi niende rufaa... Japo mpka natishika sasa hiyo gonoccoco sijui nimeikuta wapi daaa

Pole sana mkuu ungekua Arusha ningekuelekeza uende Lancet Labs kwajili ya culturing na sensitivity....ila nenda hospitali ya rufaa hapohapo mbeya uongee na daktari mtaalamu sio hawa ma Clinical Officer....pia wanawake wengi ni ma carrier wa gonorrhoea na wao wanatibu UTI ....uwe unatumia condoms mkuu
 
Pole sana mkuu ungekua Arusha ningekuelekeza uende Lancet Labs kwajili ya culturing na sensitivity....ila nenda hospitali ya rufaa hapohapo mbeya uongee na daktari mtaalamu sio hawa ma Clinical Officer....pia wanawake wengi ni ma carrier wa gonorrhoea na wao wanatibu UTI ....uwe unatumia condoms mkuu
Asantee saana mkuu
 
Kuna jamaa yangu alikuwa na tatizo la maumivu ya mkojo muda mrefu lakin yeye uchafu haukuwa unatoka, baada ya kwenda hospital na kuchukua vipimo ilionekana ana UTI hayo ni maelezo ya daktari. Lkn maabara wakamuambia ww ni mwanaume mwenzetu lazima tukuambie ukwel hiyo ni gonnorhea, na wakamueleza dawa hizo ulizoandikiwa za cipro hazitasaidia, wakamshauri achome sindano. Baada ya kutumia sindano akawa sawa.
Lakin ile gonnorhea ilisababisha breeding kwenye testes na kumsababishia kutuna kw misuli na kuuma kwa testes (inflammation), taztizo linaitwa epididymits, hivyo saiz anatumia antibiotics kutibu. Nakushauri uwe na mpenzi mmoja mwaminifu au ukishindwa tumia condoms, pia avoid oral sex maana unaweza ukatumia condom lakin huwa una practise oral sex maana virusi vya gono pia vinapatikana mdomoni(kooni)
 
Back
Top Bottom