Msaada kuhusu ufugaji

Msaada kuhusu ufugaji

mpatto

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2017
Posts
766
Reaction score
1,033
Huku nikifahamu kuwa JF ndipo mahala sahihi kwa kupata ushauri, basi nawaomba wana bodi na wenye uelewa wa maswala ya ufugaji wanisaidie kwa hili:
Nimepanga kuanza ufugaji wa kuku, je:
  1. Nifuge kuku wa aina gani? wa kienyeji au wa kisasa?
  2. Kama ni wa ki sasa au chotara, je nifuge wa mayai au wa nyama?
  3. Technich za soko zikoje?
Natanguliza shukrani zoote...
 
Back
Top Bottom