Msokwa1
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 470
- 511
wajumvi wa jukwaa hili naomba msaada wa mawaidha kuhusu koz ya information managent,nins ndugu yangu kachaguliwa kozi hiyo round ya pili chuo cha tumain campus ya dar es salaam naomba msaada wa kuelewa mambo yafuatayo
1.mahala pa kazi kwa coz hiyo
2.soko la ajira baada ya kuitim
3. kuna option mbili kwenda education kwa masomo ya bios and geo ama kwenda kusoma hii koz ipi ni nzur zaid?
natanguliza shukran
1.mahala pa kazi kwa coz hiyo
2.soko la ajira baada ya kuitim
3. kuna option mbili kwenda education kwa masomo ya bios and geo ama kwenda kusoma hii koz ipi ni nzur zaid?
natanguliza shukran