Msaada kuhusu Toyota Progres

Msaada kuhusu Toyota Progres

Kacharimbe

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
216
Reaction score
35
Wakuu natamani kununua hii gari
Cc 2460
2DW.

Naomba mwenye uzoefu nazo anisaidie katika upande wa uimara.

Je naweza kuchukua toyota Brevis badala yake?

Karibuni
Kacharimbe
 
Bonge la ndinga hili,tena injini zake mara nyingi ni vvti inayoifanya ile wese vzuri ingawa cc ni kubwa,jiweke mkuu,ndinga poa hilo,ngoja wataalam kama kina mkuu mshana jr waje wakushauri zaidi
 
Last edited by a moderator:
Bonge la ndinga hili,tena injini zake mara nyingi ni vvti inayoifanya ile wese vzuri ingawa cc ni kubwa,jiweke mkuu,ndinga poa hilo,ngoja wataalam kama kina mkuu mshana jr waje wakushauri zaidi

Asante sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Kwa tusio ijua toyota progres basi tuosheni macho
hapa kwa picha zake mwanana.

toyota_progres_blue_4d_2_2001.jpg
toyota-progres-08.jpg
Toyota_Progres_002.JPG
 
Last edited by a moderator:
Sasa Munawar kaingiaje hapa?

We si unataka kujua gari hizo?
Sasa Munawar ndio anaongoza kwa kuuza hizo aina za gari,sasa atakuambia faida na hasara zake.
Then wadau wengine tunaendelea kuchangia.

Wengie wanasema mafuta zinatumia vizuri,na zinapendwa saana na wasukuma.
Progress na Brevis ni sawa na Mbwa kumwita Jibwa,ni yale yale
Ila muundo Progress upo vizuri zaidi ya Brevis,maana Brevis nikiiona naona kama vile inarembua macho,aisee zile taa zake kama lipo kitandani duhh stim hadi kwenye gari?
 
Bonge la ndinga hili,tena injini zake mara nyingi ni vvti inayoifanya ile wese vzuri ingawa cc ni kubwa,jiweke mkuu,ndinga poa hilo,ngoja wataalam kama kina mkuu mshana jr waje wakushauri zaidi

Poa ulichopost ni sahihi kabisa
 
Last edited by a moderator:
We si unataka kujua gari hizo?
Sasa Munawar ndio anaongoza kwa kuuza hizo aina za gari,sasa atakuambia faida na hasara zake.
Then wadau wengine tunaendelea kuchangia.

Wengie wanasema mafuta zinatumia vizuri,na zinapendwa saana na wasukuma.
Progress na Brevis ni sawa na Mbwa kumwita Jibwa,ni yale yale
Ila muundo Progress upo vizuri zaidi ya Brevis,maana Brevis nikiiona naona kama vile inarembua macho,aisee zile taa zake kama lipo kitandani duhh stim hadi kwenye gari?

Ha ha ha ha!!!. Asante sana mkuu. Ila nimeshaghairi maana nimegundua ni 6cylinder
 
Hahah,umechelewa kujua mkuu,mbona matoleo hayo ni six.
Unaweza kuchukua Carina TI itakufaa saana kama issue ni mafuta.Ila bei zake zipo juu pia

Issue ya fuel siyo sana. Nahitaji confortability na durability. Unless kama ni excessive fuel consumption
 
Mwenye uzoefu na Toyota vitz RS na vitz cc990 ipi ni nzuri kwa mishe za town
Zote ni nzuri kwa hizo mishe. Ila Vits RS ina faida zaidi kutokana na ukubwa wa injini yake (cc 1290) kama sikosei. Hivyo unaweza pia kuitumia katika safari zako bila hofu.


Ingawa hata hiyo ya cc.990 ni imara pia. Muhimu tu iwe na piston 4! Anyaway, ngoja wataalamu zaidi waje. Mimi nimechapia chapia tu, kwa sababu nikishawahi kuimiliki hiyo gari hapo kabla.
 
Back
Top Bottom