Msaada kuhusu tatizo hili la tecno y4

Msaada kuhusu tatizo hili la tecno y4

Hivyo naombeni msaada wanajukwaa juu ya namna ya kutatua tatizo hili
niliwahi kuomba msaada wa namna ya kutatua tatizzo la kutokuwaka kwa simu tecno y4 wapo walionisaidia kwa vitendo na wapo pia walionisaidia kwa ushauri.. ushauri mkubwa ulikuwa ni kuipeleka simu yenyewe tecno.... ahsanteni wote mlionipa msaada kwa namna yoyote ile... niliipeleka simu kwa duka la tecno na huko ilikaa mwezi mzima,, na nashukuru imerudi na imewaka,, ila imerudi na tatizo lingine la kutokuwa na nertwork muda wote,, yaani nertwork not available muda wote.. tafadhali naombeni msaada wenu kulitatua hili tatizo
 
niliwahi kuomba msaada wa namna ya kutatua tatizzo la kutokuwaka kwa simu tecno y4 wapo walionisaidia kwa vitendo na wapo pia walionisaidia kwa ushauri.. ushauri mkubwa ulikuwa ni kuipeleka simu yenyewe tecno.... ahsanteni wote mlionipa msaada kwa namna yoyote ile... niliipeleka simu kwa duka la tecno na huko ilikaa mwezi mzima,, na nashukuru imerudi na imewaka,, ila imerudi na tatizo lingine la kutokuwa na nertwork muda wote,, yaani nertwork not available muda wote.. tafadhali naombeni msaada wenu kulitatua hili tatizo
angalia imei kama zipo *#06# ukiona invalid imei ujue ndio sababu
 
niliwahi kuomba msaada wa namna ya kutatua tatizzo la kutokuwaka kwa simu tecno y4 wapo walionisaidia kwa vitendo na wapo pia walionisaidia kwa ushauri.. ushauri mkubwa ulikuwa ni kuipeleka simu yenyewe tecno.... ahsanteni wote mlionipa msaada kwa namna yoyote ile... niliipeleka simu kwa duka la tecno na huko ilikaa mwezi mzima,, na nashukuru imerudi na imewaka,, ila imerudi na tatizo lingine la kutokuwa na nertwork muda wote,, yaani nertwork not available muda wote.. tafadhali naombeni msaada wenu kulitatua hili tatizo
Hiyo simu huenda ikawa na tatizo la IMEI number kwa hiyo issue ni kuitafutia namba nyingine kisha ui-root na kuingiza.Lakini hilo litakuwa ni kosa mbele ya TCRA.
 
Hiyo simu huenda ikawa na tatizo la IMEI number kwa hiyo issue ni kuitafutia namba nyingine kisha ui-root na kuingiza.Lakini hilo litakuwa ni kosa mbele ya TCRA.
hapana tatizo sidhani kama ni imei,, maana naweza nikaweka laini mtandao waweza kuja lakini ni wa chini sana na muda mwengine ndio unapotea kabisa
 
kwahiyo ni nini kifanyike mkuu
Inabidi u-take risk kwa kubaili imei na baseband.Fundi au mtu yeyote atakayehusika na mchezo huo anaweza akawekwa kwenye mikono ya TCRA.Kuna application nyingi kama imei changer,mobile uncle,king root nk.Lakini ni kinyume na sheria za mtandao..
 
Inabidi u-take risk kwa kubaili imei na baseband.Fundi au mtu yeyote atakayehusika na mchezo huo anaweza akawekwa kwenye mikono ya TCRA.Kuna application nyingi kama imei changer,mobile uncle,king root nk.Lakini ni kinyume na sheria za mtandao..
duh!!!!!🙁🙁🙁🙁
 
Inabidi u-take risk kwa kubaili imei na baseband.Fundi au mtu yeyote atakayehusika na mchezo huo anaweza akawekwa kwenye mikono ya TCRA.Kuna application nyingi kama imei changer,mobile uncle,king root nk.Lakini ni kinyume na sheria za mtandao..
Je hii kitu lazima fundi ndio aifanye hii kaz
 
Hiyo simu huenda ikawa na tatizo la IMEI number kwa hiyo issue ni kuitafutia namba nyingine kisha ui-root na kuingiza.Lakini hilo litakuwa ni kosa mbele ya TCRA.
Hakuna haja ya ku root aende kwa mafundi wata rebuild imei ya hiyo ambayo iko nyuma ya hiyo simu km haipo ndiyobasi tena
 
Back
Top Bottom