shukran sanaIpo vizuri mdogo...mkopo utapata na vyumba mitaa ya karibu na chuo utapata wala usihofu
Vingine sijui..
Ila kuhusu Mazingira ni pazuri mno kwa usalama na ni mjini..
Yani kutoka hapo mpaka uzunguni(mjini) ni dk10 kwa daladala na kutoka hapo mpaka Mwanjelwa(k/koo) ya Mbeya ni mwendo wa dk5 kwa kutembea(bila usafiri)..
Pia ukitoka tu unakutana na kituo cha daladala hivyo hutapata shida..
Na kama ni mpenda starehe ipo karibu na pub mbili kubwa kuliko zote hapa Mbeya (Mbeya City Pub + Mbeya Carnival Pub)...
Karibu Mbeya.
kaka umemaliza shukran sana umeelezea mpak nkaona kama niko mbeya vile