inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 650
Wadau wa hili jamvi
Kwanza kabisa natoa shukrani zangu kwenye hili jamvi,kila jambo ambalo limekuwa likinitatiza nimekuwa nikipata majibu na ufumbuzi wake humu.Watu wanashare bila ubinafsi.
Leo nambeni kusaidiwa katika hili,kwa wale wanaifahamu wakati wa usajili wa Form Four huwa kuna kupiga picha wanafunzi na kutenegeza Photo entry.Nauliza software inayotumika ku resize picha na kuweka format sawa sawa na maelekezo ya baraza.
Nataka niijue jina lake na je inapatikana torrents sites ili niipakue.
Pia kwa wale wazoefu je microsoft office picture manager haiwezi kufanya hiyo kazi.Ntashukuru sana kwa msaada wenu wana Jf
cc Chief Mkwawa
Kwanza kabisa natoa shukrani zangu kwenye hili jamvi,kila jambo ambalo limekuwa likinitatiza nimekuwa nikipata majibu na ufumbuzi wake humu.Watu wanashare bila ubinafsi.
Leo nambeni kusaidiwa katika hili,kwa wale wanaifahamu wakati wa usajili wa Form Four huwa kuna kupiga picha wanafunzi na kutenegeza Photo entry.Nauliza software inayotumika ku resize picha na kuweka format sawa sawa na maelekezo ya baraza.
Nataka niijue jina lake na je inapatikana torrents sites ili niipakue.
Pia kwa wale wazoefu je microsoft office picture manager haiwezi kufanya hiyo kazi.Ntashukuru sana kwa msaada wenu wana Jf
cc Chief Mkwawa