Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari za muda huu ndugu zangu. Naomba kwa kuanza kuwa mimi ni mpenz sana wa simu nzuri, kiukwel kabisa mwanzoni nilikuwa natumia samsung note series. Nilianza note 5 hadi 10 ila mambo ya ada ikabidi niuze na kuchukua tecno. Sasa hivi kidogo naona kamfuko kangu kananiruhusu kurudi kwenye simu zenye chati kidogo.
Naombeni mnipe kaelimu juu ya hizi simu za google pixel utofaut na simu zingine za android(samsung hasa upande wa note series maana nimewahi tumia baadhi) vipi upande wa camera zake na kadhalika.
Ila napenda kujua zaid hii google pixel 4a. Ambayo kwa sasa naona ndio toleo lake mpya mengine bado hayajatoka. Asanteni sana na samahani kama kiswahili kibovu nina imani nitakuwa nimeeleweka.
Naombeni mnipe kaelimu juu ya hizi simu za google pixel utofaut na simu zingine za android(samsung hasa upande wa note series maana nimewahi tumia baadhi) vipi upande wa camera zake na kadhalika.
Ila napenda kujua zaid hii google pixel 4a. Ambayo kwa sasa naona ndio toleo lake mpya mengine bado hayajatoka. Asanteni sana na samahani kama kiswahili kibovu nina imani nitakuwa nimeeleweka.