Msaada kuhusu pd proxy

Msaada kuhusu pd proxy

Majeruhi mwingine huyu hapa kafufuka leo...pole na karibu sana mkuu!!!
Watu bado watu wapo msibani,subiria takwimu za walionusurika na waliokufa zipatikane utapata msaada!!!
 
nami ni majeruhi mwingine, jana ilifufuka ila leo naona imekufa tena.
 
Naomba msaada jinsi ya kutumia pd proxy kwenye voda maana na scan pd proxy znagoma

wale wale yaani bila aibu anataja mtandao anaotumia
huku tumia neno BUS la rangi fulani
hiyo ulioweka mtu akisearch na Google neno PD proxy+v*** itapatikana na siri zote zitafumuka hivo itabainika bado kuna wezi

In short watu wamejidai Vijembe sasa mm nasubiri ifike 1MB/s download speed nije kuwatamanisha hapa maana sasa Internet imekuwa smooth nilikuwa nachezea speed ya 200KB/s lkn leo naona kitu 500-700kB/s
Zamani watu wako wachache nilikuwa naondoka mpaka 1.5MB/s
 
sio Bifu kuna mtu kanikoroga namsubiria tu maana muda utaeleza
Maana Port ya jana haikuwa na utaalamu wowote mtu yyeyote ambaye aliconnect PD around saa kumi mchana lazima ilimwambia Open port *** found sasa nayo imepigwa chini....

Sala yangu naomba isirejee ili mbuzi kasoro mkia jina nililoitwa aonekane ni nani
 
Naomba msaada jinsi ya kutumia pd proxy kwenye voda maana na scan pd proxy znagoma

Unga bundle yoyote ya mtandao wowote ule then utumie hiyo pd proxy kufungua hulu,mtv etc itakufichia Maswaburi kikamilifu

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Mm nisha futa vumbi ile ya zamani....ile ya kuzima zima kila baada ya 7MIN na malizia siku zangu 17 zilizo baki....maisha yanakunaupanda na ushuka bana...
 
Duh!! huyu jamaa mzima kweli!!!? ndio maana matundu yamefungwa.
 
sio Bifu kuna mtu kanikoroga namsubiria tu maana muda utaeleza
Maana Port ya jana haikuwa na utaalamu wowote mtu yyeyote ambaye aliconnect PD around saa kumi mchana lazima ilimwambia Open port *** found sasa nayo imepigwa chini....

Sala yangu naomba isirejee ili mbuzi kasoro mkia jina nililoitwa aonekane ni nani

we mtoto wewe, me jukwaa hli hata sikanyagag ila nimekuja ksa upuzi wako
 
kisa nini mpaka mnatoleana maneno ya ivyo.

Hapo kinachoendelea ni kuwa dili la Free net limeroga...sasa huyu fate amehamua kubadili jina na Avat ili nisimkumbuke maana nimekuwa nikimpa mipasho yaaani alikuwa anaanika PORT mtandaoni kabla ya gari kupata puncture ndo maana unaona bado ana HASIRA na mm
 
Last edited by a moderator:
Hapo kinachoendelea ni kuwa dili la Free net limeroga...sasa huyu fate amehamua kubadili jina na Avat ili nisimkumbuke maana nimekuwa nikimpa mipasho yaaani alikuwa anaanika PORT mtandaoni kabla ya gari kupata puncture ndo maana unaona bado ana HASIRA na mm
Mkuu najaribu kukutumia PM napa huu ujumbe

  • njunwa wamavoko has exceeded their stored private messages quota and cannot accept further messages until they clear some space.
Fanya kitu ili PM zetu zikufikie
 
Jamiiforum kuna burdan nying kweli!! bif la njunwa na mwenzake linanifurahisha sana!! kama vp tuandane mpambano ili burdan iongezeke!! Bus lishapata pancha tusbir mafnd wakachange tairi!!
 
Back
Top Bottom