Msaada kuhusu o2tvseries.com

Vladimir Lenin

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
3,613
Reaction score
5,138
Habari wakuu hii site inasifika kwa kupata movie au series kwa mb chache,bt kuhusu quality ni mbaya sna sijajua kama mm ndie nakosea nilijaribu kupakua season ya see episode moja kwa kwa option yao ya quality ile ya kwanza kabisa juu lkn bado ilionyesha ukungu sana na maandishi kuyaona ni issue, so nisaidie namna ya kupata movie yenye quality nzr.
 
Mb chache afu utegemee upate high quality??
 
Shusha ile quqlity ya pili imeandikwa HD
 
netnaija.series ndo kiboko yao hiyo see ninayo inaquality nzuri kabisa unaweza weka kwenye flatscreen na ukainjoy kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…