msaada kuhusu nokia lumia 1520

msaada kuhusu nokia lumia 1520

computer_1X

Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
15
Reaction score
4
msaada wakuu naomba yeyote mwenye hii simu anipe specs nyingi awezavyo juu yake...tafadhali include mapungufu ya hii simu.
 
Naifahamu kwa kuisoma na kusikiliza sifa zake siku ilipozindulia Abhu Dhabi October 22. Kwakua unataka waliowahi kuimiliki, naomba nipige kimya.
 
Its advanced windows phone. Ni nzuri sana. Nyepesi na ina features zenye nguvu refer www.gsmarena.com ila kama hupend masimu makubwa hutaipenda hii hapa kwakweli.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
inasupport instagram?,manake huu ndio ugonjwa wa manokia mengi hata kama ni latest,yanapigwa bao eti hata na i tel au tecno
 
Lumia zote zina support instagram.

Sent from my Lumia phone using Tapatalk
 
Ukilinganisha toka nokia warelease simu za lumia hadi leo kuna changes kubwa sana aisee. Big thanks to lumia. Kwanza wana apps nzuri sana na ni za ukweli kulinganisha na android.

App zote muhimu zipo kijana. Usijali kwa hilo.

Karibu Nokia

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Ukilinganisha toka nokia warelease simu za lumia hadi leo kuna changes kubwa sana aisee. Big thanks to lumia. Kwanza wana apps nzuri sana na ni za ukweli kulinganisha na android.

App zote muhimu zipo kijana. Usijali kwa hilo.

Karibu Nokia

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
mkuu bado unatumia lumia au ulirudi zako iphone?
 
Back
Top Bottom