Msaada kuhusu NIT second selection....

Msaada kuhusu NIT second selection....

Pa Amandu

Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
62
Reaction score
40
Habari wanajf

Niliomba vyuo vinne kwa first round nikakosa vyote,second round nikakosa pia kwa vyuo vilivyotoa majina mapema na wakaniambia niombe tena third round nikafanya HVO, Mungu ni mwema Leo wametoa NIT nikaingia kwenye account yangu nikakuta wamenichagu ..
Issue ni kwamba wananiambia nithibitishe ilihali nimechaguliwa na chuo kimoja na hzo code za TCU cjatumiwa wakati huo third round nishaapply udsm,Mzumbe na ardhi..... Naomba msaada wa mawazo tafadhali
 
Habari wanajf

Niliomba vyuo vinne kwa first round nikakosa vyote,second round nikakosa pia kwa vyuo vilivyotoa majina mapema na wakaniambia niombe tena third round nikafanya HVO, Mungu ni mwema Leo wametoa NIT nikaingia kwenye account yangu nikakuta wamenichagu ..
Issue ni kwamba wananiambia nithibitishe ilihali nimechaguliwa na chuo kimoja na hzo code za TCU cjatumiwa wakati huo third round nishaapply udsm,Mzumbe na ardhi..... Naomba msaada wa mawazo tafadhali
Umechaguliwa round ipi ? Mbona round ya tatu bado ?ingia kwenye list ya tcu angalia kama jina lako linetokea kwenye multiple selection katika hawamu uliyochaguliwa.
 
Umechaguliwa round ipi ? Mbona round ya tatu bado ?ingia kwenye list ya tcu angalia kama jina lako linetokea kwenye multiple selection katika hawamu uliyochaguliwa.
Kwenye list ya multiple sipo.... Nmechaguliwa chuo kimoja tu.. Lakin wananiambia nithibitishe
 
Jaribu kuwasiliana na chuo kutakua na shida sehemu , mtu aliyechaguliwa chuo kimoja haitaji kufanya confirmation
 
Kwenye list ya multiple sipo.... Nmechaguliwa chuo kimoja tu.. Lakin wananiambia nithibitishe
mzee tulia siyo wewe tu hata mimi niliomba round one UDOM nikakosa, raundi nikaombA mzumbe na udom, juzi mzumbe nimepata chuo kimoja nimechaguliwa ila bado nimeambiwa na mzumbe kwa sms kuwa nitatumiwa code na Tcu ili niconfirm lakini mpaka leo ni kimya na siyo sisi tu..so tutulize mshono tusubiri ingawa baadhi ya vyuo watu wa usajili wanawapigia cm waliochaguliwa na kuwauliza kama wanakwenda kwao kwa ufupi wanathibitisha kwa simu...so kama huwezi kuvuta subira basi tafuta namba za chuo ulichochaguliwa uwasiliane nao wakupe mwongozo..naamini umenisoma mkuu.
 
mzee tulia siyo wewe tu hata mimi niliomba round one UDOM nikakosa, raundi nikaombA mzumbe na udom, juzi mzumbe nimepata chuo kimoja nimechaguliwa ila bado nimeambiwa na mzumbe kwa sms kuwa nitatumiwa code na Tcu ili niconfirm lakini mpaka leo ni kimya na siyo sisi tu..so tutulize mshono tusubiri ingawa baadhi ya vyuo watu wa usajili wanawapigia cm waliochaguliwa na kuwauliza kama wanakwenda kwao kwa ufupi wanathibitisha kwa simu...so kama huwezi kuvuta subira basi tafuta namba za chuo ulichochaguliwa uwasiliane nao wakupe mwongozo..naamini umenisoma mkuu.
Niliwapgia wakanambia nisubir code za TCU
 
Samahani ndugu mi pia nliomba hapo NIT ila kwenye akaunti yangu hakuna taarifa yoyote mpaka sasa ila naomba screen shot then ntumie nione ipo vipi
 
Kama kuna mwny joining instruction ya NIT naomba kuna ndg yang kachaguliwa Human Resource Management naomba msaada
 
Karibun NIT madogo....next 2 years to come, itakuwa university kwan itapandishwa hadhi kutoka kuwa INSTITUTE hivyo basi hata msuli umechange pia........... karibun Sana uswahilini mabibo!!!!
 
Alaf hao jamaa(NIT)watatoa lini selection kwa diploma applicatants
 
Karibun NIT madogo....next 2 years to come, itakuwa university kwan itapandishwa hadhi kutoka kuwa INSTITUTE hivyo basi hata msuli umechange pia........... karibun Sana uswahilini mabibo!!!!
Uswahilin Mabibo Chumba Shilling ngap?
 
Uswahilin Mabibo Chumba Shilling ngap?
Uswahilini mabibo,w watu wengi wanakaa hosteli za nje ni kama 250k_300k, room nzuri 50k_65k,,,,,,japo kuna room za 40k lkn ndio zileeeeee.......!!!! Karibu sahara, msikitini , relini, makutano, Mabibo mwisho, sokoni,.....ndio maeneo ya students hayo!!!!!
 
Uswahilini mabibo,w watu wengi wanakaa hosteli za nje ni kama 250k_300k, room nzuri 50k_65k,,,,,,japo kuna room za 40k lkn ndio zileeeeee.......!!!! Karibu sahara, msikitini , relini, makutano, Mabibo mwisho, sokoni,.....ndio maeneo ya students hayo!!!!!
Poa..hyo 250k kwa mwez au??
 
Habari wanajf

Niliomba vyuo vinne kwa first round nikakosa vyote,second round nikakosa pia kwa vyuo vilivyotoa majina mapema na wakaniambia niombe tena third round nikafanya HVO, Mungu ni mwema Leo wametoa NIT nikaingia kwenye account yangu nikakuta wamenichagu ..
Issue ni kwamba wananiambia nithibitishe ilihali nimechaguliwa na chuo kimoja na hzo code za TCU cjatumiwa wakati huo third round nishaapply udsm,Mzumbe na ardhi..... Naomba msaada wa mawazo tafadhali
Sio ww tu.... Me first round skupat chuo ht kimoj ila second round nimechaguliw udom mzumbe na jordan lkn la kushangaz, tcu walivyotoa mijin ya multiple selection langu ckulion....yn nipo tu sielew nifanyej
 
Poa..hyo 250k kwa mwez au??
Kwa semister...... pia kuna hosteli za chuo, lakini lazima uombe mapema sana kwa official letter kupitia Dean of students(mlezi wa wanafunzi)
 
Kwa semister...... pia kuna hosteli za chuo, lakini lazima uombe mapema sana kwa official letter kupitia Dean of students(mlezi wa wanafunzi)
Sawa..Mkuu
Tareh ya Kuanza semister ya kwanza inaweza ikawa Lin??
 
Sawa..Mkuu
Tareh ya Kuanza semister ya kwanza inaweza ikawa Lin??
Mim binafsi sijui lkn tar 31 mwez huu usajili utaanza rasmi pale camps, after two weeks masomo yanaanza!!!!
 
Back
Top Bottom