GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,194
Habari ya majukumu kaka na dada zangu. Nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji 11 (matetea 10 na jogoo 1). Lengo la kuandika thread hii ni kuomba mnisaidie ratio ya chakula kwa hawa kuku 11. Je per day wanatakiwa kula mara ngapi na kiasi gani kinatakiwa kutumika ili washibe vizuri. Natanguliza shukran